Skip to content

Kiswahili Mujarabu

Atangaye na jua hujua

  • Nyumbani
  • Yaliyomo
    • Sarufi
    • Kuandika
      • Utahini wa Insha KCPE
      • Insha Mbalimbali
      • Aina za insha
    • Kusikiliza na kuongea
    • Msamiati
    • Kusoma
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Toggle search form

Month: August 2021

Tarakimu

Posted on By 6 Comments on Tarakimu

Tarakimu ni nambari aidha huitwa rakamu. Tarakimu ni mameno yanayoandikwa badala ya nambari katika lugha ya Kiswahili. Maneno yafuatayo no baadhi ya tarakimu. Yatazame: 0 – Sufuri 1 – Moja 2 – Mbili 3 – Tatu 4 – Nne 5 – Tano 6 – Sita 7 – Saba 8 – Nane 9 – Tisa 10…

Tafadhali Soma Zaidi “Tarakimu” »

Msamiati

Uakifishaji

Posted on By 6 Comments on Uakifishaji

Kuakifisha ni hali ya kutumia alama za na herufi katika sentesi za Kiswawhili ili ziweze kuleta maana kwa msomaji. Zipo sheria mbalimbali ambazo hutumika ili kuweza kuandika sentesi zilizo na mantiki.

Sarufi

Viulizi (Interrogative adjectives)

Posted on By 6 Comments on Viulizi (Interrogative adjectives)

Haya ni maneno ya kutaka kujua. Vipo viulizi aina kadhaa kama vile vinavyochukua na visivyochukua viambishi ngeli. Kiulizi ngapi? Hutaka kujua idadi ya vitu au watu. Hutumika katika hali ya wingi pekee. Kwa mfano: Watoto wangapi wameingia? Unataka viatu vingapi? Kiulizi gani? Kiulizi hiki hutaka kuakiki na kutofautisha kati ya nomino husika. Kwa mfano: Unazungumzia…

Tafadhali Soma Zaidi “Viulizi (Interrogative adjectives)” »

Sarufi

Aina za vihusishi

Posted on By 6 Comments on Aina za vihusishi

Vihusishi ni nini? Haya ni maneno yanayoonyesha uhusiano wa nomino na nyingine. Kwa njia nyingine tunaweza kusema ni uhusiano wa mtu na mwengine ama kitu. Haya ni maneno yanayoonyesha uhusiano wa nomino na nyingine au kitu na kingine. Vihusishi vya mahali. Yupo mkabala na gari. Paka yu chini ya meza. Panya ameingia ndani ya shimo….

Tafadhali Soma Zaidi “Aina za vihusishi” »

Sarufi

Majina Ya Ukoo

Posted on By 6 Comments on Majina Ya Ukoo

Huitwa nasaba, mlango, uzawa au ufungu.Hiki ni kikunda cha watu wanaotokana na nasaba moja. Baba – Mzazi wa kiume Mama – Mzazi wa kike. Dada – Ndugu wa kike, Kaka – Ndugu wa kiume Ndugu – Watoto waliozaliwa tumbo moja. Umbu – Jina wanaloitana ndugu wazawa wa kike na wa kiume. Ami au amu –…

Tafadhali Soma Zaidi “Majina Ya Ukoo” »

Msamiati

Machapisho mapya

  • Barua
  • Insha ya Methali
  • Tashbihi
  • Ngeli na maelezo yake
  • Hotuba

Kumbukumbu

  • June 2025
  • January 2025
  • May 2024
  • February 2024
  • January 2024
  • September 2023
  • July 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • September 2021
  • August 2021
  • July 2021
  • June 2021

Kategoria

  • Aina za insha
  • Insha Mbalimbali
  • Kusikiliza na kuongea
  • Kusoma
  • Majibu
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Msamiati
  • Sarufi
  • Utahini wa Insha KCPE

Copyright © 2025 Kiswahili Mujarabu.

Powered by PressBook Green WordPress theme