Skip to content

Kiswahili Mujarabu

Atangaye na jua hujua

  • Nyumbani
  • Yaliyomo
    • Sarufi
    • Kuandika
      • Utahini wa Insha KCPE
      • Insha Mbalimbali
      • Aina za insha
    • Kusikiliza na kuongea
    • Msamiati
    • Kusoma
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Toggle search form

Month: September 2021

Uchanguzi wa Sentensi

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Uchanguzi wa Sentensi

Sentensi huwa na sehemu kadhaa madhalani nomino, kivumishi, kitenzi, kiunganishi, kihusishi, kielezi, kiwakilishi na kihisishi. Ipo mipangilio kadhaa laini nitashughulikia michache. Nomino + kivumishi + kitenzi + kielezi Km. Mwanasheria huyu ametoka Amerika. Nomino + kitenzi + kielezi Km. Bibiarusi anatembea kwa madaha. Kiwakilishi + kitenzi + kielezi Km. Huyu anaimba vizuri. Kitenzi + Kielezi….

Tafadhali Soma Zaidi “Uchanguzi wa Sentensi” »

Sarufi

Aina za Viunganishi

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Aina za Viunganishi

Neno linalounganisha maneno, vikundi vya maneno au sentensi. Vipo viunganishi aina kadhaa kama vile: Viunganishi vya kulinganisha/kufananisha Fakaifa, kaifa, kefu, sembuse, seuze Viunganishi vya uteuzi Ama, au, badala ya, mahali pa Viunganishi vya kuonyesha sababu Kwa sababu, kwa minajili, kwa maana, kwa ajili ya, kisa na maana,maadamu, kwani, madhali, kwa kuwa, ili Viunganishi vya mambo…

Tafadhali Soma Zaidi “Aina za Viunganishi” »

Sarufi

Aina za Vitenzi

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Aina za Vitenzi

Haya ni maneno ambayo huzungumzia mambo ambayo yaliyotendeka, yanayotendeka au yatakayotendeka. Maneno haya ni yale yale yanapatikana katika ngeli ya vitenzinomino KU-KU. Mfano: Nomino Kusema – kitenzi ni sema Nomino Kuimba – imba Nomino Kuruka – ruka Nomino Kuchapisha – chapisha Zipo aina mbalimbali za vitenzi. Mifano: Vitenzi vya mzizi mmoja Ja, la, pa, wa,…

Tafadhali Soma Zaidi “Aina za Vitenzi” »

Sarufi

Vitendawili

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Vitendawili

Haya ni maneno yanayoficha maana ya kitu ili kisijulikane kwa urahisi. Nimeweka vichache ili kuweza kujifundisha. A Adui lakini popote huendako yuko nawe – nzi Adui tumemzunguka lakini hatumuwezi – moto Afahamu kuchora lakini hajui achoracho – konokono Afuma hana mshale – nungunungu Ajenga ingawa hana mikono – mchwa  Ajenga ingawa hana mikono – ndege…

Tafadhali Soma Zaidi “Vitendawili” »

Kusikiliza na kuongea

Abjadi, abtathi au alfabeti

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Abjadi, abtathi au alfabeti

Abjadi ni nini? Abjadi au alfabeti ni sauti 30 za lugha ya Kiswahili. Hata hivyo tukirejelea kamusi kuu ya TUKI tutapata 31. Herufi C, Q na X hazipo katika alfabeti. Tazama herufi sifuatazo:- a, b, ch, d, dh, e, f, g, gh, h, i, j, k, kh, l, m, n, ng’, ny, o, p, r,…

Tafadhali Soma Zaidi “Abjadi, abtathi au alfabeti” »

Sarufi

Aina za Vihisishi (Interjections)

Posted on By 6 Comments on Aina za Vihisishi (Interjections)

Vihisishi ni maneno ya kuonyesha hisia mbalimbali za mzungumzaji. Alama ya hisi hutumika baada ya kiingizi! Tazama baadhi ya viigizi vifuatavyo vilivyopangwa kulingana na hali tofautitofauti: Dharau Mifano: Chub!Chup! Ebo! Khaa! Kefle! Po! Pukachaka! Nyoo! Us! Wee! Zii! Furaha / Shangwe Haleluyah! Ewaa! Chabaa! Oyee!Oyaa! Huree! Shabash! Heshima Tafadhali! Huruma Jamani! Pole! Maskini! Huzuni Pole!…

Tafadhali Soma Zaidi “Aina za Vihisishi (Interjections)” »

Sarufi

Aina ya Vielezi (adverbs)

Posted on By 6 Comments on Aina ya Vielezi (adverbs)

Kielezi ni neno linaloelezea zaidi kuhusu kitenzi, kivumishi au kielezi. a) Vielezi wakati (Adverbs of time) Tutaonana mwakani.Mzee mlevi alifika usiku wa manane. b) Vielezi mahali (Adverbs of place) Wameondoka kwenda cheteni.Ndege wameingia kiotani. c) Vielezi jinsi au namna (Adverbs of manner) Amecheza kwa ustadi.Walimaliza chakula haraka. d) Vielezi kiigizi (Adverbs of interjection) Alianguka mchangani…

Tafadhali Soma Zaidi “Aina ya Vielezi (adverbs)” »

Sarufi

Jinsi ya kujibu kifungukate

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Jinsi ya kujibu kifungukate

Mwanafunzi aelewe kuwa kifungukate au kiasho hutahini mambo kadhaa ya sarufi, kusikiliza na kuzungumza, msamiati na ufahamu wa maendelezo tofautitofauti ya maneno ambayo wakati mwingine huendelezwa visivyo. Mambo haya yote huwa yanajitokeza lakini linalochukua sehemu kubwa ni sarufi. Mwanafunzi anaposoma kifungukate anapaswa aangalie: Nyakati Kifungu kimeandikwa kwa wakati gani kwa mfano:- li wakati uliopita, na…

Tafadhali Soma Zaidi “Jinsi ya kujibu kifungukate” »

Mawaidha ya Ufundishaji

Majibu ya maswali mbalimbali

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Majibu ya maswali mbalimbali

Majibu ya maswali ya Nomino Nomino mahususi Nomino hesabika/kawaida/mguso Nomino fungamano/ Nominoambata / wingi Nomino takuzi/ukubwa Nomino tadunisha/ndogoishi/udogo Nomino dhahania Nomino hesabika/kawaida/mguso Nomino makundi Nomino vitenzi Majibu ya maswali ya Tarakimu 300,486 Elfu mia mbili sabini na sita, mia tisa tisini na tisa au laki mbili sabini na tisa elfu, mia tisa tisin na tisa….

Tafadhali Soma Zaidi “Majibu ya maswali mbalimbali” »

Majibu

Machapisho mapya

  • Barua
  • Insha ya Methali
  • Tashbihi
  • Ngeli na maelezo yake
  • Hotuba

Kumbukumbu

  • June 2025
  • January 2025
  • May 2024
  • February 2024
  • January 2024
  • September 2023
  • July 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • September 2021
  • August 2021
  • July 2021
  • June 2021

Kategoria

  • Aina za insha
  • Insha Mbalimbali
  • Kusikiliza na kuongea
  • Kusoma
  • Majibu
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Msamiati
  • Sarufi
  • Utahini wa Insha KCPE

Copyright © 2025 Kiswahili Mujarabu.

Powered by PressBook Green WordPress theme