Skip to content

Kiswahili Mujarabu

Atangaye na jua hujua

  • Nyumbani
  • Yaliyomo
    • Sarufi
    • Kuandika
      • Utahini wa Insha KCPE
      • Insha Mbalimbali
      • Aina za insha
    • Kusikiliza na kuongea
    • Msamiati
    • Kusoma
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Toggle search form

Month: June 2025

Barua

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Barua

BARUA Barua ni mtungo unaowasilisha ujumbe kwa mtu mwengine labda kwa kutumwa kwa njia ya posta au mtu mwengine (tarishi). Zipo aina mbili za insha za barua. Barua ya kirafiki na barua rasmi. BARUA RASMI: Huandikwa kwa sababu ya sababu fulani maalum. Inaweza kuandikwa kwa kuomba nafasi ya kazi, kuomba msamaha kazini, kuomba uhamisho, kuomba…

Tafadhali Soma Zaidi “Barua” »

Aina za insha

Insha ya Methali

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Insha ya Methali

Insha ya Methali baadhi ya uandishi unaohitaji ufundi na kusukwa kwa umakinifu. Kwanza lazima mwanafunzi aeleze maana ya nje na ndani ya methali. Ajue kuwa methali huwa na sehemu mbili; hivyo ni kusema swali na jibu au tatizo na suluhisho. Kwa mfano; Asiye na wake (swali) ana Mungu (jibu). Atoe methali nyingine yenye maana sawa…

Tafadhali Soma Zaidi “Insha ya Methali” »

Aina za insha

Tashbihi

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Tashbihi

Tashbihi ni nini? Huu ni usemi wa kufananisha vitu viwili au zaidi ili kuleta msisitizo unaodhamiriwa na mzungumzaji au mwandishi. Mwanafunzi akitawala msamiati huu, huweza kujipatia alama nzuri katika uandishi wa insha kwa sababu msamiati wake upanda kiwango kingine. Tazama mifano ifuatayo:- A Adimika kama wali wa daku; barafu ya kukaanga; kaburi la baniani; kivuli…

Tafadhali Soma Zaidi “Tashbihi” »

Kusikiliza na kuongea

Machapisho mapya

  • Barua
  • Insha ya Methali
  • Tashbihi
  • Ngeli na maelezo yake
  • Hotuba

Kumbukumbu

  • June 2025
  • January 2025
  • May 2024
  • February 2024
  • January 2024
  • September 2023
  • July 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • September 2021
  • August 2021
  • July 2021
  • June 2021

Kategoria

  • Aina za insha
  • Insha Mbalimbali
  • Kusikiliza na kuongea
  • Kusoma
  • Majibu
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Msamiati
  • Sarufi
  • Utahini wa Insha KCPE

Copyright © 2025 Kiswahili Mujarabu.

Powered by PressBook Green WordPress theme