Skip to content

Kiswahili Mujarabu

Atangaye na jua hujua

  • Nyumbani
  • Yaliyomo
    • Sarufi
    • Kuandika
      • Utahini wa Insha KCPE
      • Insha Mbalimbali
      • Aina za insha
    • Kusikiliza na kuongea
    • Msamiati
    • Kusoma
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Toggle search form

Category: Aina za insha

Barua

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Barua

BARUA Barua ni mtungo unaowasilisha ujumbe kwa mtu mwengine labda kwa kutumwa kwa njia ya posta au mtu mwengine (tarishi). Zipo aina mbili za insha za barua. Barua ya kirafiki na barua rasmi. BARUA RASMI: Huandikwa kwa sababu ya sababu fulani maalum. Inaweza kuandikwa kwa kuomba nafasi ya kazi, kuomba msamaha kazini, kuomba uhamisho, kuomba…

Tafadhali Soma Zaidi “Barua” »

Aina za insha

Insha ya Methali

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Insha ya Methali

Insha ya Methali baadhi ya uandishi unaohitaji ufundi na kusukwa kwa umakinifu. Kwanza lazima mwanafunzi aeleze maana ya nje na ndani ya methali. Ajue kuwa methali huwa na sehemu mbili; hivyo ni kusema swali na jibu au tatizo na suluhisho. Kwa mfano; Asiye na wake (swali) ana Mungu (jibu). Atoe methali nyingine yenye maana sawa…

Tafadhali Soma Zaidi “Insha ya Methali” »

Aina za insha

Hotuba

Posted on By 6 Comments on Hotuba

Hotuba hutolewa kwa hadhira ya watu. Mwandishi huota mawazo yake labda kushughulikia tatizo fulani au kupeana mwongozo katika shughuli fulani. Mhusika mkuu katika hotuba huwa mwandishi na hadhira yake. Mwandishi anaweza kuandika yaliyosemwa na mwengine moja kwa moja au akatoa hotuba yake mwenyewe. Ni vizuri mwanagenzi ashughulikie maudhui barabara katika hotuba yake. Aanzie hotuba moja…

Tafadhali Soma Zaidi “Hotuba” »

Aina za insha

Mjadala

Posted on By 6 Comments on Mjadala

Insha hii ni ya kujadili aidha huitwa insha ya mdahalo; mtahiniwa hupeana hoja ili kuunga mkono wazo ambalo anaona linapazwa kupewa kipaombele. Mtahini anapenda kuona kama mtahiniwa ataweza kumshawishi vya kutosha katika mdahalo wenyewe kwa kupeana mawazo mazito mazito labda katika kupinga au kuunga mkono mada kuu. Mwanafunzi anapaswa kuandika hoja za upande mmoja asichanganyechanganye….

Tafadhali Soma Zaidi “Mjadala” »

Aina za insha

Wasifu

Posted on By 6 Comments on Wasifu

Insha ya wasifu kama lilivyo jina lake ni mtungo unaosifu kitu, mahali, mtu au nchi. Sifa zinazotolewa huwa zimewanda na hutokana na mada husika. Kila mada hushulikiwa kivyake japo yapo mambo yanayoangaziwa katika kila mada. Mwanafunzi ashughulikie yafuatayo: a)    Jina la kitu, mtu, mahali, nchi na kadhalika. b)    Uhusuhano wa jamaa au jamii ya vitu….

Tafadhali Soma Zaidi “Wasifu” »

Aina za insha

Mdokezo

Posted on By 6 Comments on Mdokezo

Dondoo au mdokezo ni insha ambayo mtahiniwa hupewa mwanzo au mwisho wa hadithi. Mtahiniwa huhitajika kutoa kisa kinachodhihrisha na kulenda maudhui yanayoafikiana na mdokezo ule aliopewa. Mwanafunzi anahitajika kuwa na utangulizi ulio na mvuto. Mwili wa insha ulenge maudhui kwa kina. Ahitimishe kwa wazo la kukumbukwa au wasia mwafaka. Mwanafunzi anahija kuangazia mambo kadhaa ili alenge maudhi…

Tafadhali Soma Zaidi “Mdokezo” »

Aina za insha

Machapisho mapya

  • Barua
  • Insha ya Methali
  • Tashbihi
  • Ngeli na maelezo yake
  • Hotuba

Kumbukumbu

  • June 2025
  • January 2025
  • May 2024
  • February 2024
  • January 2024
  • September 2023
  • July 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • September 2021
  • August 2021
  • July 2021
  • June 2021

Kategoria

  • Aina za insha
  • Insha Mbalimbali
  • Kusikiliza na kuongea
  • Kusoma
  • Majibu
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Msamiati
  • Sarufi
  • Utahini wa Insha KCPE

Copyright © 2025 Kiswahili Mujarabu.

Powered by PressBook Green WordPress theme