Skip to content

Kiswahili Mujarabu

Atangaye na jua hujua

  • Nyumbani
  • Yaliyomo
    • Sarufi
    • Kuandika
      • Utahini wa Insha KCPE
      • Insha Mbalimbali
      • Aina za insha
    • Kusikiliza na kuongea
    • Msamiati
    • Kusoma
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Toggle search form

Category: Kusikiliza na kuongea

Tashbihi

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Tashbihi

Tashbihi ni nini? Huu ni usemi wa kufananisha vitu viwili au zaidi ili kuleta msisitizo unaodhamiriwa na mzungumzaji au mwandishi. Mwanafunzi akitawala msamiati huu, huweza kujipatia alama nzuri katika uandishi wa insha kwa sababu msamiati wake upanda kiwango kingine. Tazama mifano ifuatayo:- A Adimika kama wali wa daku; barafu ya kukaanga; kaburi la baniani; kivuli…

Tafadhali Soma Zaidi “Tashbihi” »

Kusikiliza na kuongea

Tashdidi

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Tashdidi

Tashdidi ni fani ya lugha inayotumia maneno mawili yaliyo na maana moja kuleta msisitizo katika uandishi. Hizi ni kati ya tashdidi ambazo zimekusanywa kwa ustadi sitazokusaidia kupamba Insha yako vilivyo. Tazama mifano ifuatayo:- Adabu na nidhamu Akili na maarifa Alifoka na kung’aka Bidii na juhudi Bora na mufti Duwaa na kubung’aa Eleza na kufafanua Fika…

Tafadhali Soma Zaidi “Tashdidi” »

Kusikiliza na kuongea

Tanakali za sauti

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Tanakali za sauti

Tanakali ni nini? Hii ni tamadhali ya usemi ambayo hutumiwa kurejelea sauti inayoigiza jinsi kitu fulani kinavyotendeka. Tazama mifano ifuatayo:- Tanbihi: Usitenganishe sauti ya tanakali kwa mfano: lia kwi kwi kwi – inafaa lia kwikwikwi Aidha usiweke alama ya mshangao mwishoni pa mlio. Kwa mfano: Lia kwikwikwi! Haya ni makosa inafaa lia kwikwikwi. A Anguka…

Tafadhali Soma Zaidi “Tanakali za sauti” »

Kusikiliza na kuongea

Nahau

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Nahau

Nahau ni nini? Hili ni fungu la maneno lililo na maana ambayo haotokani na maana ya aneno yanayounda fungu hilo. mwanafunzi anahitajika kujua kuwa mafungu haya yanapotumika katika ulumbi humpa mzungumzaji hadhi na kuonekana mwenye utawala katika maongezi. Katika uandishi humsaidia mtahiniwa kupata alama zaidi katika msamiati ambao huwa ni jumla ya alama 12. Tazama…

Tafadhali Soma Zaidi “Nahau” »

Kusikiliza na kuongea

Methali Zinazolandana

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Methali Zinazolandana

Methali ni usemi wa kisanii wa kimapokeo unaofikiriwa na jamii kuwa kweli na unaotumiwa kufumbia au kupigia mfano na huwa umebeba maana pana kuliko maneno yenyewe yanayotumiwa.

Kusikiliza na kuongea

Vitendawili

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Vitendawili

Haya ni maneno yanayoficha maana ya kitu ili kisijulikane kwa urahisi. Nimeweka vichache ili kuweza kujifundisha. A Adui lakini popote huendako yuko nawe – nzi Adui tumemzunguka lakini hatumuwezi – moto Afahamu kuchora lakini hajui achoracho – konokono Afuma hana mshale – nungunungu Ajenga ingawa hana mikono – mchwa  Ajenga ingawa hana mikono – ndege…

Tafadhali Soma Zaidi “Vitendawili” »

Kusikiliza na kuongea

Taswira Jozi

Posted on By 6 Comments on Taswira Jozi

Haya ni maneno yaliyo na maana moja na huumika katika jozi ili kuleta msisistizo katika uzungumzaji au uandishi. Sana sana huwa vitenzi. Tazama mifano ifuatayo:

1. Ardhi na mbingu – tofautiana

2. Asili na jadi -zamani sana.

3. Balaa na belua – matatizo makubwa.

4. Bure bilashi – bila sababu yoyote ile.

5. Daima dawamu – bila kukoma; kila wakati.

6. Doto na Kurwa – pacha

Tafadhali Soma Zaidi “Taswira Jozi” »

Kusikiliza na kuongea

Majina ya Makundi

Posted on By 6 Comments on Majina ya Makundi

1. Almashauri ya shule

2. Biwi la takataka / simanzi

3. Bunda la noti / kititacha pesa

4. Chane ya ndizi

5. Doti ya kanga

Tafadhali Soma Zaidi “Majina ya Makundi” »

Kusikiliza na kuongea

Tashbihi au Tashbiha

Posted on By 6 Comments on Tashbihi au Tashbiha

Tashibihi ni maneno ya mfananisho wa wazo na jingine kwa kutumia maneno kama, sawasawa na, mfanano na, mithili ya, ungedhani nk. Tazama mifano ifuatayo:

 1. Adimika kama wali wa daku; barafu ya kukaanga; kaburi la baniani; kivuli cha nzi; maziwa ya kuku.

2. Amrisha kama mwanajeshi.

3. Angalia huku na huko kama luja.

4. Angua kicheko kama radi, jitu, fisi.

5. Bahati kama mtende; mwana aliyezaliwa Ijumaa.

Tafadhali Soma Zaidi “Tashbihi au Tashbiha” »

Kusikiliza na kuongea

Visawe

Posted on By 6 Comments on Visawe

Visawe aidha sinonimia ni maneno ambayo maana yake inakaribiana sana. Ukipenda ni maneno yaliyo na maana moja.
Tazama mifano ifuatayo:
1. Afya – siha.
2. Aibika – susuwaa, fedheheka, tahayari.
3. Ajabu – shani, kioja, kituko, muujiza, dungudungu, hekaya.
4. Angamiza – hilikisha, tilifisha.
5. Asali – uki.

Tafadhali Soma Zaidi “Visawe” »

Kusikiliza na kuongea

Posts pagination

1 2 Next

Machapisho mapya

  • Barua
  • Insha ya Methali
  • Tashbihi
  • Ngeli na maelezo yake
  • Hotuba

Kumbukumbu

  • June 2025
  • January 2025
  • May 2024
  • February 2024
  • January 2024
  • September 2023
  • July 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • September 2021
  • August 2021
  • July 2021
  • June 2021

Kategoria

  • Aina za insha
  • Insha Mbalimbali
  • Kusikiliza na kuongea
  • Kusoma
  • Majibu
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Msamiati
  • Sarufi
  • Utahini wa Insha KCPE

Copyright © 2025 Kiswahili Mujarabu.

Powered by PressBook Green WordPress theme