Skip to content

Kiswahili Mujarabu

Atangaye na jua hujua

  • Nyumbani
  • Yaliyomo
    • Sarufi
    • Kuandika
      • Utahini wa Insha KCPE
      • Insha Mbalimbali
      • Aina za insha
    • Kusikiliza na kuongea
    • Msamiati
    • Kusoma
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Toggle search form

Uchanguzi wa Sentensi

Posted on By Harun Mbijiwe 6 Comments on Uchanguzi wa Sentensi

Sentensi huwa na sehemu kadhaa madhalani nomino, kivumishi, kitenzi, kiunganishi, kihusishi, kielezi, kiwakilishi na kihisishi.

Ipo mipangilio kadhaa laini nitashughulikia michache.

Nomino + kivumishi + kitenzi + kielezi

Km. Mwanasheria huyu ametoka Amerika.

Nomino + kitenzi + kielezi

Km. Bibiarusi anatembea kwa madaha.

Kiwakilishi + kitenzi + kielezi

Km. Huyu anaimba vizuri.

Kitenzi + Kielezi.

Km. Wanaruka Kimaasai.

Nomino + kitenzi + kihusishi + nomino + kitenzi

Km. Mwalimu aliyesimama kando ya darasa ameenda.

Kiwakilishi + kitenzi kisaidizi + nomino + kimilikishi

Km. Wao ni wana wetu.

Nomino + kitenzi + kihusishi + nomino

Km. Gatanga amesimama mkabala na darasa.

Nomino + kivumishi kiashiria + kitenzi kisaidizi + kimilikishi + kiwakilishi + kivumishi kiashiria + kitenzi kisaidizi + kimilikishi.

Km. Mtoto huyu ni wangu, yule pale ni wake.

Kitenzi

Km. Alinichapa.

Ipo miundo zaidi na vievile inayotatanisha zaidi, lakini utaishughulikia kwa kina ufikapo shule ya upili. Kwa sasa miundo niliyoirorodhesha inatosha kukuwezesha kujibu maswali ya K.C.P.E.

Fanya maswali yaliopo hapa chini ili kujitadhimini.

Zoezi 

[ays_quiz id=”1″]

Post Views: 168
Sarufi

Post navigation

Previous Post: Aina za Viunganishi
Next Post: Ufundishaji wa ufahamu

Machapisho mapya

  • Barua
  • Insha ya Methali
  • Tashbihi
  • Ngeli na maelezo yake
  • Hotuba

Kumbukumbu

  • June 2025
  • January 2025
  • May 2024
  • February 2024
  • January 2024
  • September 2023
  • July 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • September 2021
  • August 2021
  • July 2021
  • June 2021

Kategoria

  • Aina za insha
  • Insha Mbalimbali
  • Kusikiliza na kuongea
  • Kusoma
  • Majibu
  • Mawaidha ya Ufundishaji
  • Msamiati
  • Sarufi
  • Utahini wa Insha KCPE

Copyright © 2025 Kiswahili Mujarabu.

Powered by PressBook Green WordPress theme